Uchumi
Kenya: Ugumu wa uchumi wasababisha mamilioni kukata tamaa ya kutafuta kazi
Takwimu kutoka Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu nchini Kenya (KNBS) zimebainisha kuwa theluthi mbili ya watu wasio na kazi wamekata tamaa kutafuta ...Kenya: Wananchi waacha magari majumbani kutokana na bei kubwa ya mafuta
Wakati Tanzania bei ya mafuta ikishuka, nchini Kenya matumizi ya mafuta yamepungua kwa mara ya kwanza tangu 2017, ikiashiria hali ya uchumi ...Bei ya petroli na dizeli zashuka, hizi ni bei mpya kwa mikoa yote
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/04/CAP-PRICES-FOR-PETROLEUM-PRODUCTS-EFFECTIVE-WEDNESDAY-5th-APRIL-2023.pdf” title=”CAP PRICES FOR PETROLEUM PRODUCTS EFFECTIVE WEDNESDAY 5th APRIL 2023″]Tanzania yashika nafasi ya 10 Afrika kwa mamilionea wengi wa dola
Tanzania imeshuka katika idadi ya mamilionea wa dola hadi nafasi ya 10 kutoka nafasi ya saba mwaka 2022, kulingana na ripoti ya ...Kenya: Serikali yapandisha bei ya umeme kwa hadi asilimia 63
Bei ya umeme nchini Kenya inatarajiwa kuongezeka kwa hadi asilimia 63 baada ya mdhibiti wa sekta ya nishati kuidhinisha ushuru wenye gharama ...Kenya: Mawaziri kubinafsisha Mashirika ya Umma bila idhini ya Bunge
Baraza la Mawaziri limeidhinisha Muswada wa Ubinafsishaji wa mwaka 2023 ambao utabatilisha sheria ya ubinafsishaji ya mwaka 2005 unaotoa mamlaka kwa hazina ...