Uchumi
Ndege mpya ya mizigo kuwasili nchini muda wowote
Serikali imesema muda wowote kuanzia sasa ndege mpya ya mizigo inatarajiwa kuwasili nchini ikiwa ni kati ya ndege mpya tano zikiwemo za ...Serikali kujenga njia maalum kupanda Mlima Kilimamjaro
Serikali imesema inatarajia kujenga njia mpya ya kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia Kidia ambayo itatumiwa na watalii maalum na wenye kipato kikubwa ili ...Rais Samia kushiriki mkutano wa pamoja kati ya Afrika Kusini na Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kiserikali nchini Afrika Kusini Machi 16, mwaka huu kwa mwaliko maalum kutoka kwa ...Nchi 10 Afrika zinazodaiwa zaidi na China
Athari za kiuchumi za janga la UVIKO-19 na vita vya Urusi na Ukraine vimefanya iwe vigumu zaidi kwa nchi nyingi za Afrika ...Mfumuko wa bei washuka Februari 2023
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imetangaza kupungua kwa mfumuko wa bei nchini kutoka asilimia 4.9 kwa mwaka ulioishia Januari, 2023 hadi ...Eric Omondi akamatwa katika maandamano kupinga kupanda gharama za maisha
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya, Eric Omondi amekamatwa na polisi baada ya kujaribu kuvamia Bunge nchini humo kupinga kupanda wa gharama za maisha. ...