Uchumi
Waziri Bashe: Tanzania haiko tayari kutumia mbegu za GMO
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kwa sasa Tanzania haipo tayari kutumia mbegu zilizobadilishwa vinasaba (GMO) pasipo kujua undani wake, badala yake ...Taarifa ya TCRA kuhusu vocha za simu ‘kupandishwa’ bei
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabir Bakari amesema hakuna vocha zilizopanda bei, na kama zipo ni utapeli ambao ...Mauzo ya nyama nje ya nchi yaongezeka kwa asilimia 21
Mauzo ya nyama nje ya nchi kwa kipindi cha Julai 15 hadi Desemba 15 mwaka jana yameongezeka na kufikia tani 5,158 sawa ...LATRA: Hakuna mwananchi atakayeshindwa kulipa ongezeko la nauli
Baraza la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC) limesema kuna sababu mbalimbali za kuongezeka kwa nauli zikiwemo uendeshaji wa usafiri ...LATRA yatangaza bei mpya ya nauli
Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza ongezeko la nauli za mabasi ya mwendokasi jijini Dar es Salaam zitakazoanza kutumika siku ...IMF: Mwaka 2023 utakuwa mwaka mgumu zaidi
Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Kristalina Georgieva amesema kwamba mwaka huu 2023 theluthi moja ya dunia itaathiriwa na mdororo ...