Uchumi
Ufafanuzi wa Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu deni la Taifa Tanzania
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu kiwango cha deni la Taifa ambalo hujengwa kwa kujumlisha deni la ...Wakenya wachukua mikopo ili kununua vyakula kutokana na mfumuko wa bei
Baadhi ya Wakenya wamelazimika kuchukua mikopo kwa ajili ya kununua chakula baada ya gharama ya maisha kupanda kwa kiasi kikubwa na kupelekea ...Marekani yadai wadukuzi wa China wameiba TZS bilioni 46 za msaada wa UVIKO-19
Wadukuzi wanaohusishwa na Serikali ya China wameiba karibu dola milioni 20 [TZS bilioni 46.6] ambazo ni fedha za msaada za Serikali ya ...Wanaume walalamika wake zao kutowashirikisha fedha wanazopata kwenye VICOBA
Vikundi vya Kuweka Akiba na Kukopeshana (VICOBA) vimedaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake kutokana na wanawake ...Elon Musk asubiri kibali cha TCRA kuwekeza nchini
Tovuti ya Starlink inayomilikiwa na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa mtandao wa Twitter, Elon Musk imetangaza mpango wa kuleta huduma ya ...Elon Musk awaambia Twitter wafanye kazi kwa saa nyingi au waache kazi
Mfanyabiashara na mmiliki wa mtandao wa Twitter, Elon Musk amewaambia wafanyakazi wa Twitter kuchagua kufanya kazi kwa saa nyingi na kwa hali ...