Uchumi
TCAA matatani sakata la mgogoro wa uwanja wa ndege Zanzibar
Mwekezaji wa Kampuni ya Transworld Aviation FZE, Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu amefungua maombi mahakamani ya kuomba ridhaa ya kuishtaki Mamlaka ...Majaribio ya SGR Dar – Morogoro kuanza Februari
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema linatarajia kuanza majaribio ya kutoa huduma katika Reli ya kisasa (SGR) kati ya Dar es Salaam ...TRA: Tozo ya kitanda nyumba za kulala wageni sio utaratibu mpya
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo amesema utaratibu wa ukusanyaji wa kodi ...Kenya: Mahakama Kuu yasitisha tozo za miamala kati ya benki na simu
Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru Safaricom pamoja na benki kuu kusitisha tozo kwa miamala inayofanywa kati ya benki na M-Pesa mpaka pale ...Vodacom waiomba Serikali iangalie suala la tozo bajeti ijayo
Kampuni ya Vodacom imeiomba Serikali kuangalia upya suala la tozo katika bajeti inayokuja ili kuwasogeza zaidi watumiaji katika mfumo wa kidijitali utakaosaidia ...Waziri Bashe: Tanzania haiko tayari kutumia mbegu za GMO
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kwa sasa Tanzania haipo tayari kutumia mbegu zilizobadilishwa vinasaba (GMO) pasipo kujua undani wake, badala yake ...