Uchumi
AZAKi, Sekta binafsi na umma kushirikiana kuleta maendeleo
Shirika la Foundation for Civil Society (FCS), limeandaa mpango kazi utakaosaidia AZAKi kujikwamua kiuchumi kutokana na ushirikano utakaozikutanisha pamoja na Sekta Binafsi ...Rais Samia: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano na China katika maendeleo ya kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umeleta matokeo chanya kwa maisha ya watu wa Afrika, ...Rais Samia aelekeza mashirika ya umma kufanya mabadiliko ya kiutendaji
Rais Samia Suluhu amewataka Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma kutoa maoni yao ya namna wanavyotamani taasisi wanazoziongoza ...Mashirika, taasisi zatakiwa kujikita kuwekeza nje ya nchi
Taasisi na Mashirika ya Umma nchini yametakiwa kujikita katika kufikiria njia mbalimbali zitakazowawezesha kuwekeza nje ya nchi ili kusaidia nchi iendelee kujitawala ...Rais Mwinyi: China imeisaidia sana Zanzibar kimaendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya ...