Uchumi
Rais Samia aelekeza mashirika ya umma kufanya mabadiliko ya kiutendaji
Rais Samia Suluhu amewataka Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma kutoa maoni yao ya namna wanavyotamani taasisi wanazoziongoza ...Mashirika, taasisi zatakiwa kujikita kuwekeza nje ya nchi
Taasisi na Mashirika ya Umma nchini yametakiwa kujikita katika kufikiria njia mbalimbali zitakazowawezesha kuwekeza nje ya nchi ili kusaidia nchi iendelee kujitawala ...Rais Mwinyi: China imeisaidia sana Zanzibar kimaendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya ...Morocco yasamehe takriban wafungwa 5,000 wa kilimo cha bangi
Mfalme wa Morocco, Mohammed VI ametoa msamaha kwa takriban watu 5,000 waliokuwa wamehukumiwa au wanaosakwa kwa makosa yanayohusiana na kilimo cha bangi ...Libya: Benki Kuu yasitisha huduma baada ya Mkuu wa Idara ya Habari kutekwa
Benki Kuu ya Libya imesitisha shughuli zote na kutangaza kutoendelea hadi Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari wa benki hiyo, Musab ...Dkt. Mwinyi: Tamasha la Kizimkazi ni fursa ya utalii na uwekezaji
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, amesema Tamasha la Kizimkazi ni fursa muhimu kwa Mkoa wa ...