Uchumi
Dkt. Mwigulu akanusha taarifa ya Tanzania kufilisika
SWaziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikieleza kwamba serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa madeni kadhaa yalliyosababisha kusuasua ...Mwigulu: TRA wafukuzeni kazi wanaoomba na kupokea rushwa
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amemwagiza Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kuwafukuza kazi watumishi wa ...Rais Mwinyi: Sekta ya sukari ni kipaumbele kwa Tanzania
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza kuwa sekta ya sukari ni kipaumbele katika kilimo ...NMB: Tuna uwezo wa wa kukopesha bilioni 515 kwa mkupuo mmoja
Hayo yamesemwa na Meneja wa NMB Tawi la Sabasaba, Bi. Kidawa Masoud, katika banda la benki hiyo kwenye Viwanja vya Sabasaba, Barabara ...Tanzania inaiuzia Zambia mahindi tani 650,000 kukabiliana na njaa
Tanzania inauza mahindi tani 650,000 nchini Zambia ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa kufuatia mazungumzo kati ya Rais Samia Suluhu na Rais ...Mashirika 10 ya ndege yanayofanya vizuri zaidi barani Afrika mwaka 2024
Unaposafiri kwa ndege, unataka safari iwe nzuri, isiyo na mawazo, na yenye starehe, pamoja na huduma bora kabisa. Ingawa si kila ndege ...