Uncategorized
Waziri wa Watoto ajiuzulu kwa kuzaa na mvulana wa miaka 16
Waziri wa Watoto wa Iceland, Ásthildur Lóa Thórsdóttir (58) amejiuzulu baada ya kukiri kuwa alizaa mtoto na mvulana wa miaka 16 akiwa ...Kampeni ya UEFA Priceless: Chanja Kijanja, Shinda na Ufurahie Fainali za UEFA na Mastercard ya ...
Benki ya Exim Tanzania, kwa kushirikiana na Mastercard, wamezindua rasmi Kampeni ya UEFA Priceless, mpango kabambe unaolenga kuhamasisha matumizi ya Exim Mastercard ...Benki ya Exim Yaandaa Futari Tanga na Zanzibar Kuimarisha Uhusiano wa Kijamii
Benki ya Exim Tanzania imeandaa futari maalum Tanga na Zanzibar, ikikusanya pamoja wateja wake, viongozi wa dini, na wadau wakuu kwa jioni ...Vodacom, ZICTIA Zaungana Kukuza Matumizi ya Kidijitali Zanzibar Kupitia Nyaya za Chini ya Bahari
Vodacom Tanzania PLC imetia saini ushirikiano wa kimkakati na Shirika la Miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA) ili kuboresha ...EXIM BANK YAINGIA MKATABA WA MIAKA MITATU NA ZATI
Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua ...Burkina Faso yapiga marufuku majaji kuvaa mawigi ya kikoloni mahakamani
Kiongozi wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré amepiga marufuku majaji kuvaa mawigi yanayofanana na mitindo ya kikoloni ya Uingereza na Ufaransa, ikiwa ni ...