Uncategorized
Mgambo wadaiwa kuwakata mapanga wananchi
Madiwani wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamelalamikia vitendo vinavyofanywa na baadhi ya Mgambo wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ...Mkurugenzi asimamishwa kwa kuwaonea muhali wabadhirifu
Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Hassani Njama Hassani kwa kushindwa kutekeleza ...Mali za TZS bilioni 5 za mfanyausafi wa Magereza Kenya zashikiliwa
Mahakama Kuu jijini Nairobi, Kenya inashikilia mali zenye thamani ya TZS bilioni 5.2 mali ya mwajiriwa wa Idara ya Magereza nchini humo, ...Taarifa ya Polisi kuhusu mwili wa Padri uliokutwa ndani ya tenki la maji
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema linaendelea kuchunguza kwa kina kifo cha Paroko wa Parokia ya Mbezi Mshikamano, Padri Francis ...Mpangilio sahihi wa vyeo vya Jeshi la Polisi Tanzania
Jeshi la Polisi nchini Tanzania lina jumla ya ngazi 14 za vyeo, cha juu zaidi kikiwa ni Inspekta Jenerali wa Polisi huku ...Rais Samia: Lazima tufanye kazi ili tusitegemee mataifa ya nje
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Mwalimu Nyerere alikuwa kiongozi aliyekuwa na fikra na falsafa za dhana ya kujitegemea wakati wa ...