Uncategorized
Wadukuzi warusha picha za utupu kwenye mkutano wa Spika wa Bunge la Afrika Kusini
Katika kupambana na virusi vya corona, shughuli mbalimbali zinazohusisha mikusanyiko ya watu kama vile mikutano zimezuiwa katika nchi mbalimbali, huku watu wakishauriwa ...RC Makonda: Wabunge waliopo Dar watakamatwa kama wazururaji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa saa 24 kwa wabunge wote waliopo jijini Dar es Salaam kurejea jijini ...Mwanga waanza kuonekana kuelekea tiba ya corona
Mmalaka ya Dawa na Chakula (FDA) nchini Marekani imeidhinisha matumizi ya dharura ya dawa ya Ebola, remdesivir, ianze kutumika kutibu virusi vya ...Historia: Homa kali ya mafua ilivyoiathiri Afrika Mashariki mwaka 1918
Wakati duniani ikiendelea kukabiliana na janga la mlipuko wa homa ya mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona, historia inaonesha kuwa virusi ...Majibu ya kisheria: Je! Ni kweli mwanaume akiishi na mwanamke kwa kipindi kirefu wanakuwa wameoana?
Na; Makendi Aloyce (Mwanasheria) DHANA YA NDOA (PRESUMPTION OF MARRIAGE) Ndugu msomaji, unaweza kuwa na maswali mengi juu ya wapenzi (mwanamke na ...