Tag: aagiza
Waziri aagiza polisi kuwakamata viongozi wanaosimamia ujenzi wa kituo cha afya Geita
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa vijiji na Kata waliokuwa wakisimamia mradi wa ujenzi wa kituo ...Waziri Mkuu aagiza pesa kukusanywa kwa kutumia mifumo ya kielektroniki
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la ...RC aagiza wawili wahojiwe baada ya kushindwa kuthibitisha tuhuma za utekaji
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi ameagiza Polisi wilayani Maswa kuondoka na wananchi wawili waliotoa tuhuma za kuwepo kwa vitendo vya ...Makonda aagiza barabara itengwe kwa ajili ya maonesho ya biashara kwa wajasiriamali
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa kutenga barabara maalumu katikati ya jiji hilo ...Majaliwa aagiza watumishi wanne wa TRA waondolewe kutokana na dharau
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Afisa Mfawidhi wa Kituo cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) cha Mutukula, Feisal Nassoro na wenzake watatu ...Rais Samia aagiza mifumo ya TEHAMA serikalini isomane
Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inayosimamia sera ya TEHAMA kwa kushirikiana na wizara nyingine ...







