Tag: ACT Wazalendo
ACT Wazalendo yazitaka nchi za Afrika kuungana na Afrika Kusini kupinga uamuzi wa Marekani
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa Februari 8, 2025, wa kukata ...ACT Wazalendo wamtaka Waziri Mchengerwa kuwarejesha wagombea wao waliokatwa
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa kuwarejesha ...ACT Wazalendo yaitaka TCRA kuondoa zuio la kuisitishia leseni Mwananchi
Chama cha ACT- Wazalendo kimelaani hatua ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni ya huduma za maudhui mtandaoni kwa kampuni ya ...ACT Wazalendo yaunga mkono uwekezaji wa DP World, yatoa mapendekezo
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinaunga mkono uwekezaji kwenye bandari za Tanzania ili kuziwezesha kufanya kazi kwa ufanisi na kuwa na tija ...Soma hapa msimamo ACT Wazalendo kuhusu makubaliano kati ya Tanzania na Dubai
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/09/Msimamo-wa-ACT-Wazalendo-SAKATA-LA-BANDARI-Na-Mapendekezo-1.pdf” title=”Msimamo wa ACT Wazalendo SAKATA LA BANDARI Na Mapendekezo (1)”]ACT yataka Dkt. Slaa na wenzake wapelekwa mahakamani au waachiwe huru
Chama cha ACT Wazalendo kimelitaka Jeshi la Polisi kuwaachia huru bila masharti yoyote au kuwapeleka mahakamani Wakili Boniphace Mabukusu, Mpaluka Nyagali na ...