Tag: ahukumiwa
Ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kusafirisha mirungi
Mahakama ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Richard Peter Mahimbo (25), mkazi wa Kiomoni, Tanga kwa ...Raia wa Nigeria jela miaka 28 kwa kusafirisha dawa za kulevya
Mahakama Kuu ya Uhujumu Uchumi, Divisheni ya Makosa ya Rushwa, imemhukumu David Kanayo Chukwu, raia wa Nigeria, kifungo cha miaka 28 jela ...Rais mstaafu wa Peru ahukumiwa miaka 13 jela kwa utakatishaji fedha
Mahakama nchini Peru imemhukumu Rais wa zamani, Alejandro Toledo (74) kifungo cha miaka 13 na miezi minne jela kwa utakatisha fedha wakati ...Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha Pili
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Lindi imemuhukumu kwenda jela miaka 30 Salumu Moshi Mkumbwa (20), mkulima na mkazi wa eneo la ...Ahukumiwa miaka saba jela kwa kuua bila kukusudia
Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro imemhukumu kifungo cha miaka saba jela Shigela Washa Buhimila (32), mkazi wa Tuliza Moyo, Wilaya ya Ulanga, ...Ahukumiwa jela maisha kwa kubaka na kumlawiti mtoto wa miaka sita
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi, imemhukumu Shabani Mohamed (27), mkazi wa Mchangani, kifungo cha maisha gerezani baada ya ...








