Tag: akamatwa
Mwanaharakati maarufu Kenya, Boniface Mwangi akamatwa na polisi
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu nchini Kenya, Boniface Mwangi amekamatwa kwa tuhuma zinazohusishwa na ugaidi na kuchoma mali ya umma kwa makusudi. ...Mchungaji akamatwa akiwa na nyoka kwenye begi
Polisi katika Kaunti ya Busia nchini Kenya wamemkamata mwanaume aliyejulikana kwa jina la Fanish Ramsey Maloba mwenye umri wa miaka 26 baada ...Akamatwa kwa tuhuma za kughushi kadi za NIDA
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Consolata Mwasege (47), mfanyabiashara na mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ...Dereva wa basi Mwanza – Morogoro anatumia leseni ya pikipiki; Polisi wamkamata
Dereva wa basi la abiria lenye namba za usajili T 622 EFG linalofanya safari zake mkoani Mwanza kwenda Morogoro anashikiliwa na Jeshi ...Dada wa kazi aliyemjeruhi kooni mtoto wa bosi ashikiliwa na polisi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linamshikilia Clemensia Mirembe (19) ambaye ni Dada wa kazi za nyumbani kwa kosa ...Mwanamke akamatwa kwa kupeleka maiti benki ili asaini mkopo
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Érika de Souza Vieira Nunes wa nchini Brazil amekamatwa baada ya kupeleka maiti benki, akitumaini kwamba ...








