Tag: Arusha
Watoto watano wafariki kwa ugonjwa usiojulikana Arusha
Watoto watano wa familia moja wakazi wa kijiji cha Mswakini wilayani Monduli, mkoa wa Arusha, wamefariki dunia kwa ugonjwa ambao bado haujatambulika ...IGP Sirro: Wanasiasa acheni kuhamasisha uvunjifu wa amani Loliondo
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amesema zoezi la uwekaji alama kwenye Pori Tengefu la Loliondo wilaya ya Ngorongoro mkoani ...Hatma ya uhuru wa Sabaya na wenzake kujulikana leo
Hatma ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita imepangwa kujulikana leo ambapo Mahakama ya ...Arusha mawe kituo cha polisi akiwa amelewa
Maafisa wa polisi katika eneo la Solai, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya, wamemkamata mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la Dennis Kibet kwa ...Majaliwa amsimamisha kazi Mkurugenzi wa Jiji la Arusha
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dkt. John Pima pamoja na baadhi ya ...Arusha: Wananchi washambuliwa na mawe kutoka kusikojulikana
Wakazi wa Kijiji cha Kiwawa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha wameingia kwenye taharuki baada ya mawe kurushwa kwenye maeneo yao na watu ...