Tag: ashikiliwa
Mtoto ashikiliwa kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake Njombe
Kamanda wa Polisi mkoani Njombe, Mahamoud Banga amesema Jeshi la Polisi mkoani humo linamshikilia mtoto wa miaka 12 kwa tuhuma za kumlawiti ...Mtoto wa miaka 14 ashikiliwa kwa tuhuma za kubaka na kulawiti watoto
Jeshi la Polisi linamshikilia mtoto wa miaka 14 (jina linahifadhiwa) mkazi wa Kijiji cha Mnete, kilichopo Kitongoji cha Chiano, Kata ya Nalingu, ...Adaiwa kuua binti wa kazi na mtoto wa mwalimu aliyemkataa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi linawashikilia watu wawili wakazi wa Kitongoji cha Kabatini Kijiji cha Mpembe Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa ...Mwanafunzi ashikiliwa kwa kuchoma moto madarasa
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Yesse Charles (17), mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Lyela, kwa tuhuma za ...Ashikiliwa kwa kumwagia maji ya moto mke mwenzake msibani
Mkazi wa Kata ya Lugata, Kisiwa cha Kome wilayani Sengerema, Vumilia Kasembo (32) anashikiliwa na Ofisi ya Mtendaji wa Kata kwa madai ...Mbunge ashikiliwa kwa shambulizi dhidi ya waandishi wa habari Ngorongoro
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu kadhaa akiwemo Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai kwa tuhuma za kuhusika na shambulizi ...