Tag: auawa
Polisi: Tunafanya uchunguzi dereva bajaji aliyekutwa ameuawa Arusha
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema linafanya uchunguzi kuhusu tukio la mwili wa Elias Msuya (28) dereva bajaji, mkazi wa Uswahilini Jijini ...Binti auawa baada ya kwenda kumtembelea mpenzi wake Nairobi
Familia moja katika Kijiji cha Kirima, eneo la Ngaru, Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya imepatwa na mshtuko mkubwa baada ya binti yao ...Auawa akijaribu kumshambulia msanii jukwaani usiku wa Krismasi
Mwanaume mwenye umri wa miaka 24, anayejulikana kwa jina Anthony Ouma, ameuawa na mashabiki wenye hasira katika klabu ya usiku mjini Bondo ...Tarime: Auawa kwa kisu akigombania mwanamke baa
Mkazi wa Kijiji cha Sirari, wilaya ya Tarime mkoani Mara, John Nyamesati ameuawa kwa kuchomwa kisu wakati akigombea mwanamke baa kisha mtuhumiwa ...Geita: Auawa na wasiojulikana kisha kukatwa kiganja
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Milembe Seleman (43) mkazi wa mtaa wa Mseto ameuawa na watu wasiojulikana katika mtaa wa Mwatulole, ...Mfalme wa Hifadhi ya Serengeti ‘Bob Junior’ auawa
Simba anayefahamika kama mfalme wa Hifadhi ya Taifa Serengeti, maarufu kwa jina la ‘Bob Junior’ ameuawa baada ya kushambuliwa na kundi la ...