Tag: CHADEMA
Viongozi wa CHADEMA wakamatwa kwa mkusanyiko usio halali
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Masaga Pius Kaloli mkazi wa Wilaya ya Chunya na Mwenyekiti ...CCM: Hatuhusiki na CHADEMA kuzuiwa kufanya shughuli zake
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakihusiki kwa namna yoyote na kufungiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake. Taarifa ...Viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA watangaza kujiondoa CHADEMA
Baadhi ya viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Benson Kigaila wametangaza kuachana na chama ...Mwenezi BAWACHA Njombe adaiwa kushambuliwa na mlinzi wa CHADEMA
Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) Taifa, Sigrada Mligo, mkazi wa Mji mwema mkoani Njombe ameripotiwa kujeruhiwa na mlinzi wa chama ...Mnyika apewa siku mbili kujibu malalamiko ya uteuzi wa viongozi CHADEMA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome, amemuomba Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika kujibu ...Serikali: Tunachunguza madai ya wanafunzi kufukuzwa kisa wazazi wao wanaunga mkono CHADEMA
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza kuchunguzwa kwa taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo ...








