Tag: CHADEMA
CHADEMA yakubali mdahalo na Makonda, yatoa masharti
Baada ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Paul Makonda kutoa rai kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanyike ...CHADEMA yatangaza kutoshiriki uchaguzi wa madiwani
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakitashiriki katika uchaguzi mdogo wa madiwani kwenye Kata 14 zilizopo katika Halmashauri 13 nchini ambazo ...Dkt. Slaa: Hakuna sababu ya Mdee na wenzake 18 kuwepo bungeni
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden Dkt. Wilbroad Slaa amesema haoni sababu inayowafanya wabunge 19 wanaoongozwa na Halima Mdee kuendelea kuwepo bungeni ...CHADEMA: Waziri Mkuu awajibike kwa ripoti ya CAG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa wito kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwajibika kwa hasara iliyojitokeza ya ubadhirifu wa fedha katika ...Dkt. Slaa: CHADEMA imekomaa kushika nchi
Kwa takribani miaka nane baada ya kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na baadaye Balozi ...Mbowe: Nimepoteza mabilioni kuwa CHADEMA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepoteza mabilioni ya fedha kwa kuwa mwanachama wa CHADEMA na kukitumikia ...