Tag: DRC
DRC, M23 zakubaliana, kutafuta, amani,
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na waasi wa M23 wameahidi kutafuta amani kufuatia majadiliano ya zaidi ya wiki moja ...Wamarekani waliohukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC washitakiwa Marekani
Marekani imewashitaki raia wake wanne kwa kuhusika kwenye jaribio la kupindua Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya watatu ...Wamarekani watatu waliohukumiwa kifo DRC warudishwa kwao
Raia watatu wa Marekani waliohukumiwa kifo kwa kuhusika katika jaribio la mapinduzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mwaka jana wamerudishwa Marekani ...Angola yajiondoa kama mpatanishi wa mzozo wa DRC
Angola imeamua kujiondoa kama mpatanishi katika mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya kushindwa kufanikisha mazungumzo ya ...DRC yaondoa visa kwa Tanzania
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeondoa hitajio la Visa kwa raia wa Tanzania wanaoingia nchini humo kuanzia Machi 20, mwaka ...DRC yaiomba Chad msaada wa kijeshi kupambana na M23
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeomba msaada wa kijeshi kutoka Chad ili kupambana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...