Tag: DRC
Aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC ahukumiwa miaka 30 jela
Aliyekuwa kiongozi wa kundi la waasi, Roger Lumbala (67), amehukumiwa na Mahakama ya Paris kifungo cha miaka 30 jela kwa kushiriki katika ...Mahakama ya Kijeshi kutoa hukumu dhidi Rais Kabila
Mahakama Kuu ya kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi inayomkabili Rais wa zamani wa nchi ...Marekani yaitaka Rwanda kuondoa majeshi yake DRC
Marekani imeitaka Rwanda kuyaondoa majeshi yake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kabla ya pande hizo mbili kutia saini makubaliano ya amani. ...DRC, M23 zakubaliana, kutafuta, amani,
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na waasi wa M23 wameahidi kutafuta amani kufuatia majadiliano ya zaidi ya wiki moja ...Wamarekani waliohukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC washitakiwa Marekani
Marekani imewashitaki raia wake wanne kwa kuhusika kwenye jaribio la kupindua Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya watatu ...Wamarekani watatu waliohukumiwa kifo DRC warudishwa kwao
Raia watatu wa Marekani waliohukumiwa kifo kwa kuhusika katika jaribio la mapinduzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mwaka jana wamerudishwa Marekani ...








