Tag: DRC
DRC yaifungulia kesi Rwanda Mahakama ya Haki za Binadamu, kesi kusikilizwa leo
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye ...Waasi wa M23 waunda Serikali mpya Kivu Kaskazini, DRC
Muungano wa Alliance Fleuve Congo (AFC), ambao una uhusiano na waasi wa M23 umeunda Serikali mpya nchini DRC kwa kumteua Kanali Bahati ...Waasi DRC watangaza kusitisha mapigano
Muungano wa waasi Mashariki mwa DRC unaojumuisha M23 umetangaza kusitisha mapigano kutokana na sababu za kibinadamu kuanzia Februari 4, mwaka huu. Muungano ...Marekani yaitaka Rwanda kusitisha mapigano DRC
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeishinikiza Rwanda kusitisha mapigano mara moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku ikitoa tahadhari ...DRC yaishtaki Rwanda Mahakama ya Afrika Mashariki
Mgogoro katika eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umechukua mkondo wa kisheria baada ya Kinshasa kuishtaki Rwanda katika Mahakama ...Rais Samia: Wanasheria iangalieni kwa uzito DRC
Rais Samia Suluhu Hassan ameikiagiza Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS) kuiangalia kwa upana nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo ...