Tag: jela
Raia wa Nigeria jela miaka 28 kwa kusafirisha dawa za kulevya
Mahakama Kuu ya Uhujumu Uchumi, Divisheni ya Makosa ya Rushwa, imemhukumu David Kanayo Chukwu, raia wa Nigeria, kifungo cha miaka 28 jela ...Mmiliki wa kituo cha watoto Kibaha jela maisha kwa kubaka watoto
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha imemhukumu kifungo cha maisha jela Stephano Anyosisye Mwasala (35), aliyekuwa mmiliki wa kituo cha kulea watoto wanaoishi ...Aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC ahukumiwa miaka 30 jela
Aliyekuwa kiongozi wa kundi la waasi, Roger Lumbala (67), amehukumiwa na Mahakama ya Paris kifungo cha miaka 30 jela kwa kushiriki katika ...Rais mstaafu wa Peru ahukumiwa miaka 13 jela kwa utakatishaji fedha
Mahakama nchini Peru imemhukumu Rais wa zamani, Alejandro Toledo (74) kifungo cha miaka 13 na miezi minne jela kwa utakatisha fedha wakati ...Ahukumiwa jela maisha kwa kulawiti watoto, adai alikosa pesa za kuwalipa ‘dada poa’
Mahakama ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemhukumu kifungo cha maisha jela Isacka Masheku (33), mkulima na mkazi wa kijiji cha Malya, ...Mwenyekiti na Balozi wake wahukumiwa jela maisha kwa jaribio la kuua
Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza imewahukumu kifungo cha maisha jela watu watano, wakiwemo mwenyekiti wa kijiji na balozi wake, baada ya kupatikana ...








