Tag: Kenya
Amuua baba yake na kumzika kwenye shamba la familia
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Musee Ngui, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua baba yake, Ngui Ngunza na kumzika kwenye ...Polisi wamsaka kijana anayedaiwa kuua ndugu zake Kenya
Polisi wa Ol Kalou nchini Kenya wanamsaka kijana mwenye umri wa miaka 27 anayetuhumiwa kuwaua ndugu zake na kuwajeruhi watoto wawili kwa ...CAF yaipiga faini Kenya milioni 127 baada ya mechi na Morocco
Shirikisho la Soka Kenya (FKF) limepigwa faini ya Dola za Kimarekani 50,000 [TZS milioni 127.8] kwa makosa ya kiusalama katika mechi dhidi ...Jeshi la Polisi Tanga lakamata boti yenye mirungi kutoka Kenya
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kukamata boti iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka nchini Kenya kupitia Bahari ...Mwanaharakati maarufu Kenya, Boniface Mwangi akamatwa na polisi
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu nchini Kenya, Boniface Mwangi amekamatwa kwa tuhuma zinazohusishwa na ugaidi na kuchoma mali ya umma kwa makusudi. ...Ruto: Wapinzani hawana mipango ya ajira, wanachochea vurugu
Rais wa Kenya, William Ruto amewataka wapinzani wake kueleza mipango yao mbadala ya kutengeneza ajira kwa vijana badala ya kuwachochea vijana kufanya ...








