Tag: Kenya
Achomwa moto kwa madai ya kumuua mkewe, kumpika vipande na kuwapa watoto
Mwanamume mmoja nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Stephen Onserio (50) amechomwa moto hadi kufa na wananchi wenye hasira kali kwa madai ...Rais Ruto alaani walioshambulia polisi wakati wa maandamano
Rais wa Kenya, William Ruto amelaani mashambulizi dhidi ya polisi yaliyotokea wakati wa maandamano ya kizazi cha Gen-Z siku ya Jumatano, akisema ...Sudan yaituhumu Kenya kuwapa waasi silaha
Serikali ya Sudan inayoungwa mkono na jeshi imeituhumu Kenya kwa kusafirisha silaha kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) hadi kwa kundi ...Jaji Mkuu Mstaafu Kenya ajiunga kwenye maandamano ya Gen Z
Jaji Mkuu Mstaafu nchini Kenya, David Maraga amejiunga na maandamanao ya vijana (maarufu Gen Z) jijini Nairobi akilaani ukatili wa maafisa wa ...Baba wa kijana aliyepigwa risasi Kenya atapeliwa akiahidiwa kusaidiwa bili ya hospitali
Jonah Kariuki ambaye ni baba wa Boniface Kariuki, muuza barakoa aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano nchini Kenya ametapeliwa KSH 200,000 ...Naibu Inspekta wa Polisi Kenya akaa pembeni kupisha uchunguzi
Naibu Inspekta Mkuu wa Polisi nchini Kenya, Eliud Lagat amekaa pembeni kupisha uchunguzi juu ya kifo cha mwanablogu Albert Ojwang aliyefariki akiwa ...








