Tag: kesi
Kesi ya Mange Kimambi yaahiridhwa hadi Januari, 2026
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati wa Tanzania anayeishi Marekani, Mange Kimambi hadi Januri 28 2026. ...Mange Kimambi ashtakiwa kwa kutakatisha fedha, adai Serikali inapanga kumrejesha nchini
Mwanaharakati Mange Kimambi anayeishi nchini Marekani amefunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi nchini Tanzania, akidaiwa kutakatisha TZS milioni 138.5. Kwa mujibu wa hati ...Mahakama yatupilia mbali kesi ya Luhaga Mpina
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mwanachama wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina pamoja na ACT- ...Kesi ya kupinga Mpina kuenguliwa kugombea Urais kusikilizwa Septemba 29
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala Kuu Dodoma imetoa amri ya kusikiliza kesi ya Luhaga Mpina na chama cha ACT Wazalendo dhidi ya ...Jamhuri yaiomba Mahakama kuzuia mashahidi kurushwa mubashara
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu hadi Agosti 18, 2025, ...Jay-Z amfungulia kesi mwanamke aliyemtuhumu kwa ubakaji
Mwanamuziki Jay-Z amemshitaki mwanamke aliyefuta kesi aliyomtuhumu kwa ubakaji baada ya tuzo za MTV Video Music Awards za mwaka 2000 akiwa na ...








