Tag: kumuua
Polisi wamsaka mwanamke kwa tuhuma za kumuua mchepuko wa mume wake
Polisi mjini Kisumu nchini Kenya wanamsaka mwanamke anayedaiwa kumchoma kisu na kumuua mwanamke mwingine aliyeshukiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mume ...Akiri kumbaka mtoto wa miaka mitano, adai ni shetani alimpitia
Mahakama ya wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Nicholaus Paulo Kidoganya (21) mkazi wa Kijiji cha Nyehunge, kifungo cha miaka 30 jela baada ...Adaiwa kumuua mama yake wakigombea mali za baba yake
Jeshi la Polisi limesema mwanamke aliyefahamika kwa jina la Adela Dominick (74) ameuawa kwa kupigwa na kitu butu kichwani kisha kunyongwa kwa ...Watu 8 wakamatwa kwa tuhuma za kumuua Mgambo Kilimanjaro
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu nane kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Farijara Hamis Mboya, maarufu kwa jina la ...Akamatwa kwa tuhuma ya kumuua mumewe kwa rungu akiwa amelala
Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Aurelia Kalolo (40), mkazi wa Kijiji cha Ukumbi, Wilayani Kilolo, kwa tuhuma za kumuua mume ...Msichana wa kazi ashitakiwa kwa tuhuma za kumuua bosi wake
Msichana wa miaka 15, anayejulikana kwa jina la Sarah Mwendesha amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Ilemela kwa tuhuma ...