Tag: Mahakama
Ashtakiwa kwa kukutwa na sehemu tano za siri za wanawake
Salum Nkonja mkazi wa Maswa Simiyu amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa madai ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 11 ...Ahukumiwa jela maisha kwa kumlawiti mtoto wa dada yake
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha na fidia ya TZS milioni 10 Ramadhan Musa Chewa (34) mkazi ...Tazania yatenga bilioni 4 kujenga makao makuu ya Mahakama ya Afrika
Jaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, Imani Aboud ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kupitisha bajeti ...Mahakama yatangaza nafasi za ajira mpya 207
Tume ya Mahakama kupitia Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma imetangaza nafasi mpya za ajira 207 za sekta ya mahakama katika ...Hatma ya uhuru wa Sabaya na wenzake kujulikana leo
Hatma ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita imepangwa kujulikana leo ambapo Mahakama ya ...Mdee na wenzake wakata rufaa mahakamani, bunge lashindwa kutoa uamuzi
Kufuatia sakata la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa ...