Tag: Marekani
UNAIDS yatabiri ongezeko la maambukizi ya Ukimwi Marekani ikiendelea na usitishwaji wa misaada
Shirika la Umoja wa Mataifa la Ukimwi (UNAIDS) limesema kesi mpya za maambukizi ya HIV na Ukimwi huenda zikaongezeka kwa zaidi ya ...Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wathibitisha Watanzania 24 kushikiliwa na Idara ya Uhamiaji
Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umethibitisha kuwa Watanzania 24 wanashikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini ...Marekani yaitaka Rwanda kusitisha mapigano DRC
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeishinikiza Rwanda kusitisha mapigano mara moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku ikitoa tahadhari ...Marekani yamwekea vikwazo Spika wa Bunge la Uganda na mumewe
Marekani imewawekea vikwazo maafisa watano wa Uganda, akiwemo Spika wa Bunge la nchi hiyo, Anita Among, mumewe na Naibu Mkuu wa zamani ...Malanga alivyokuwa nyuma jaribio la mapinduzi DRC na jinsi Marekani inavyohusishwa
Jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Felix Tshisekedi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) limeleta taharuki na wasiwasi kuhusu ...Marekani yamwekea vikwazo Rais wa Zimbabwe na Makamu wa Rais kwa tuhuma za ufisadi
Marekani imemwekea vikwazo Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa na mkewe; Makamu wa Rais, Constantino Chiwenga; baadhi ya wakuu wa Serikali na mashirika ...