Tag: mauaji
Padri anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya mtoto albino asimamishwa kutoa huduma za kiroho
Jimbo la Katoliki la Bukoba limemsimamisha huduma za kichungaji, Padri Elipidius Rwegoshora anayedaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto albino, Asimwe Novart mpaka ...Ajifungua mahakamani baada ya kuachiwa kwa tuhuma za mauaji
Virginia Maingi amejifungua katika mahakama ya Kithimani, Kaunti ya Machakos nchini Kenya baada ya mahakama hiyo kumwachia huru kwa tuhuma za mauaji. ...Polisi: Tunawasaka waliozusha taarifa za mauaji ya raia wa Kihindi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya jamii kuwa kuna raia watatu wenye asili ...Anne Rwigara, mkosoaji wa Serikali ya Rwanda afariki, kifo chaibua utata
Anne Rwigara (41), aliyekuwa mkosoaji wa Serikali ya Rwanda na mtoto wa mfanyabiashara maarufu wa zamani nchini Rwanda, Assinapol Rwigara amefariki dunia ...Wamuua dada yao wakigombania zawadi za Krismasi
Ndugu wawili wamekamatwa mjini Florida baada ya dada yao kupigwa risasi na kuuawa wakati wa mabishano kuhusu zawadi za Krismasi. Kwa mujibu ...Kanisa lahusishwa na mauaji ya Waziri Mkuu Mstaafu wa Japan
Serikali ya Japan imeiomba mahakama iamuru kufutwa kwa kanisa ambalo shughuli zake zimehusishwa kuwa sababu ya kuuawa kwa Waziri Mkuu wa zamani, ...