Tag: mbaroni
Bodaboda 8 mbaroni kwa kuvunja vioo vya magari 18 Rufiji
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limesema linawashikilia watu 8 ambao ni madereva bodaboda katika Kijiji cha Kiwambo Kata ya Kitomondo ...Mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya mama wa kambo
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Tatuzo Yohana Mzumbwe, mkazi wa Masoko mkoani humo kwa tuhuma za mauaji ya mama yake wa ...Mganga mbaroni kwa tuhuma za mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia kijana aitwaye Ally Juma Shaban (29) mganga wa tiba asilia na mkazi wa Makazi Mapya, Mlandizi ...Watu 26 kutoka LBL mbaroni kwa kujihusisha na biashara ya upatu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu 26 wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara haramu ya upatu mtandaoni bila kuwa ...Askari watatu, mgambo mbaroni kwa mauaji Tabora
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linawashikilia askari watatu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) pamoja na mgambo wanne kwa tuhuma za kusababisha ...Daktari mbaroni kwa kumbaka mtoto mgonjwa
Daktari Is-haka Rashid (35) mkazi wa Kangagani Wilaya ya Wete anayehudumu katika kutuo cha afya mjini Chake Chake, anashikiliwa na Jeshi la ...








