Tag: mtoto
Baba aliyembaka binti yake asema alijua ni mkewe
Mahakama ya Wilaya ya Mpanda imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Augustino Michese (59) kwa kosa la kumbaka binti yake wa kumzaa ...Mexico yasitisha kumpeleka mtoto wa El Chapo nchini Marekani baada ya watu 29 kuuawa
Jaji kutoka Mexico City amesitisha zoezi la kumpeleka nchini Marekani Joaquín ‘El Chapo’ Guzmán, ambaye ni mtoto wa mfanyabiashara mkubwa wa dawa ...Amuua mkewe baada ya kuambiwa mtoto si wake
Mtu mmoja anayefahamika kwa jina Abdallah anatafutwa na Jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa tuhuma za kumuua mkewe, Pili Mang’ota (38) mkulima ...Sababu 6 za kwanini mtoto wako analia kwa muda mrefu usiku
Baadhi ya wazazi huchukulia hali ya kawaida kwa watoto wao kulia nyakati za usiku, huku wengine wakiihusisha na imani mbalimbali bila kujua ...Kijana akamatwa kwa tuhuma za kuiba mtoto tangu mwaka 2020
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Baraka Masunzu mkazi wa Kibondo mkoani Kigoma amekamatwa mkoani humo kwa tuhuma za kuiba mtoto tangu ...Mtoto asafiri zaidi ya 460km kwenye uvungu wa basi
Wasamaria wema mkoani Shinyanga wamemuokoa mtoto wa kike (13) aliyenusurika kifo baada ya kujificha chini ya uvungu wa basi akisafiri kutokea mkoani ...