Tag: mtoto
Sababu 6 za kwanini mtoto wako analia kwa muda mrefu usiku
Baadhi ya wazazi huchukulia hali ya kawaida kwa watoto wao kulia nyakati za usiku, huku wengine wakiihusisha na imani mbalimbali bila kujua ...Kijana akamatwa kwa tuhuma za kuiba mtoto tangu mwaka 2020
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Baraka Masunzu mkazi wa Kibondo mkoani Kigoma amekamatwa mkoani humo kwa tuhuma za kuiba mtoto tangu ...Mtoto asafiri zaidi ya 460km kwenye uvungu wa basi
Wasamaria wema mkoani Shinyanga wamemuokoa mtoto wa kike (13) aliyenusurika kifo baada ya kujificha chini ya uvungu wa basi akisafiri kutokea mkoani ...Adaiwa kuua mtoto ili kulipiza kisasi kwa mama yake
Polisi Mkoani Njombe wanamshikilia Hapiness Mkolwe (27) kwa tuhuma za kumuua mtoto Jackson Kiungo (6) mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ...Mtoto aharibiwa mkono kwa uzembe wa madaktari
Mtoto Nassoro Rashid (1) amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando jijini Mwanza kutokana na kupata madhara ya kiafya ambayo wazazi ...Mtoto (14) asimulia alivyobakwa na baba yake mzazi
Mahakama ya Wilaya ya Chunya koani Mbeya imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Ayub Jackson (34), mkazi wa Kijiji cha Mlima Njiwa ...