Tag: mwanafunzi
Mwalimu atoroka baada ya mwanafunzi aliyemchapa kufariki
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamtafuta mwalimu wa shule ya Msingi Samanga wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro baada ya kuhusishwa na kifo ...Mwanafunzi wa miaka 16 apewa ujauzito na mzee wa miaka 65
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamtafuta Amos Samson (65) mkazi wa Kata ya Kolandoto Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumpa ...Mwanafunzi ajiua baada ya kuliwa ada ya chuo kwenye kamari
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Federal Polytechnic, Ilaro (FPI) nchini Nigeria amejiua baada ya kutumia ada yake ya chuo na ya mwanafunzi ...Mwanafunzi atolewa korodani baada ya kupigwa na walimu wake
Polisi katika Kaunti ya Kisii nchini Kenya wanawasaka walimu wa Shule ya Sekondari ya Nyabisia huko Bobasi kutokana na adhabu kali ya ...Ahukumiwa kifungo cha maisha mara mbili kwa kumlawiti mwanafunzi
Emanuel Gwandu (21) amehukumiwa kifungo cha maisha mara mbili jela pamoja na kulipa fidia ya TZS milioni 5 baada ya kukutwa na ...Mama amchoma mwanae mikono kisa TZS 30,000
Katika hali ya kushangaza mwanafunzi wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Shahende, Kata ya Butobela wilaya ya Geita mkoani Geita ...








