Tag: mwanafunzi
Mwanafunzi ajinyonga mwalimu kumtaka anyoe nywele
Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Langalanga, Shamamcy Wanjiru (17) amekutwa amejinyonga ndani ya nyumba yao eneo la ...Mchungaji jela miaka 30 kwa kumbaka mwanafunzi
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Jimbo la Chalinze Dayosisi ya Morogoro, Boniface Mgalula amehukumiwa kwenda jela miaka 30 ...Mwanafunzi ajifungua katika chumba cha mtihani
Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Kulimi, Kata ya Kulimi wilayani Maswa, mkoa wa Simiyu amejifungua katika chumba cha ...Mwanafunzi ajiteka mwenyewe ili kupata fedha kwa wazazi
Polisi nchini Kenya wamemkamata mwanafunzi wa ya Udaktari, Edwin Kamau (23), ambaye anadaiwa kuwa ametekwa kwa nia ya kujipatia pesa kutoka kwa ...Mwanafunzi wa chuo ajifungua na kumtupa mtoto nyuma ya nyumba
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza aliyetambulika kwa jina moja la Judith amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi akidaiwa kujifungua ...Polisi adaiwa kumjeruhi sehemu za siri mwanafunzi kwa tuhuma ya wizi wa ‘laptop’
Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT) kilichopo Mkoani Mwanza, Warren Lyimo anadaiwa kupigwa na kuvunjwa korodani na askari kutoka Jeshi ...








