Tag: polisi
Majibu ya Polisi kuhusu madai ya ACT Wazalendo utata wa kifo cha diwani
Kufuatia tuhuma zilizotolewa na Chama cha ACT Wazalendo kupitia mitandao ya kijamii kuwa aliyekuwa diwani wa Kata ya Nyamgali, Majaliwa Abbas Hamis, ...Polisi kuchunguzwa kuhusu vifo vitatu vya watuhumiwa
Jeshi la Polisi limesema linamshikilia Askari Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa tuhuma za kumpiga risasi Shaban Said Luluba, Mkazi wa Kijiji ...Polisi: Tunachunguza raia wa kigeni kukamatwa na mifuko iliyojaa fedha
Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kuanza uchunguzi wa kina kufuatia kusambaa kwa picha mjongeo inayomwonesha raia wa kigeni mwenye asili ya China ...Polisi wakanusha kumgonga mwananchi na kumsababishia kifo Kibaha
Jeshi la Polisi mkoani Pwani limekanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu gari la Jeshi la Polisi kumgonga mwananchi eneo la ...Polisi: Madai yaliyotolewa na Godlisten Malisa ni ya uongo
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limekanusha madai ya mama mzazi wa mwanaharakati, Godlisten Malisa kuwekwa chini ya ulinzi. Polisi wamesema askari ...Polisi yapiga marufuku maandamano ya Desemba 9
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika Desema 9, 2025, likisema kuwa yamekosa sifa za kisheria za kuyaruhusu kufanyika, ikiwemo kulenga ...







