Tag: polisi
Polisi: Tunafanya uchunguzi dereva bajaji aliyekutwa ameuawa Arusha
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema linafanya uchunguzi kuhusu tukio la mwili wa Elias Msuya (28) dereva bajaji, mkazi wa Uswahilini Jijini ...Polisi wamsaka mwanamke kwa tuhuma za kumuua mchepuko wa mume wake
Polisi mjini Kisumu nchini Kenya wanamsaka mwanamke anayedaiwa kumchoma kisu na kumuua mwanamke mwingine aliyeshukiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mume ...Polisi: Taarifa za uwepo wa mbakaji ‘Teleza’ ni uvumi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limewaonya wananchi waliotaka kumshambulia mwananchi mmoja wakimtuhumu kuwa ni mbakaji maarufu kwa jina la ‘Teleza’. Taarifa ...Watu tisa wajeruhiwa kwa moto Songwe, Polisi yamshikilia mmoja
Watu tisa wamejeruhiwa kwa moto walipokuwa wakijaribu kuokoa mali kwenye duka la kuhifadhi na kuuza vinywaji vya jumla na reja reja katika ...Polisi Arusha watoa mitaji kwa warahibu wa dawa za kulevya
Mtandao wa Polisi Wanawake Mkoa wa Arusha wametoa mitaji kwa warahibu wa dawa za kulevya ambao wanapatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ...Polisi: Tunachunguza kubaini kwanini Mwanasheria Lusako alikimbia wakati si yeye tuliyemfuata
Kufuatia taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayodai Askari Polisi kuvamia ofisi za Taasisi ya Reach Out Tanzania iliyopo eneo la Makumbusho ...