Tag: polisi
Polisi yakanusha Bobi Wine kupigwa risasi, yadai alijikwaa
Polisi nchini Uganda wamekanusha madai kwamba kiongozi wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, alipigwa risasi Jumanne jioni, badala yake, wamesema ...Familia yagomea polisi kufukua mwili unaodaiwa kuzikwa kimakosa
Jambo la kustaajabisha limetokea katika kitongoji cha Dungi, Kijiji cha Kibosho Kindi, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya Polisi kushindwa kufukua ...Ashikiliwa kwa tuhuma za kumnyonga mtoto wa miaka saba
Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Mahango wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumfanyia ...Jeshi la Polisi: Tumeanza kufanya uchunguzi kupotea kwa Shadrack
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema limeanza kufanya ufuatiliaji na uchunguzi wa taarifa ya kupotea kwa kijana Shadrack Chaula (24) mkazi ...Waziri Masauni: Sativa hatoi ushirikiano wa kutosha kwa polisi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masaud amesema mwathirika wa vitendo vya utekaji, Edgar Edson Mwakabela (27) maarufu kama Sativa ...Rais Ruto awaongeza mishahara maafisa polisi na magereza
Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza kuwa nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa polisi, magereza na maafisa wengine wa mashirika ya usalama ...