Tag: polisi
Uchunguzi: Polisi wanawajeruhi raia wakati wa ukamataji na upelelezi
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesema uchunguzi umebaini baadhi ya watuhumiwa kupata madhara ya mwili na wakati mwingine ...Wapenzi wachapwa viboko hadharani baada ya video ya ngono kuvuja
Polisi nchini Ghana imewakamata washukiwa watatu kwa kosa la kuwachapa viboko hadharani wapenzi kwa madai ya mkanda ya ngono kuvuja na kusambaa ...Mwanamke aliyejifungua atolewa figo kimakosa badala ya Uterasi
Polisi wilayani Mubende nchini Uganda wanachunguza madaktari katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa baada ya kudaiwa kutoa figo ya mama aliyejifungua wakati ...Akamatwa kwa kujaribu kukata sehemu za siri za dereva teksi
Mwanaume mmoja huko Chimoio katikati mwa Msumbiji, anashikiliwa na Polisi baada ya kukiri kujaribu kukata sehemu za siri za dereva wa teksi. ...Arusha: Wananchi washambuliwa na mawe kutoka kusikojulikana
Wakazi wa Kijiji cha Kiwawa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha wameingia kwenye taharuki baada ya mawe kurushwa kwenye maeneo yao na watu ...Mwanamke (56) adaiwa kumbaka mtoto (8), amchubua sehemu za siri
Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Desderia Mbelwa (56) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Iringa kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa ...