Tag: polisi
Polisi: Tunamshikilia British, hajatekwa
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tarime Rorya limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kutekwa kwa Fredrick Mang’era Kemange maarufu British, mkazi wa Kijiji ...Polisi: Kuna kikundi cha watu kinaandaa taarifa za upotoshaji mtandaoni
Jeshi la Polisi limetahadharisha kuwa kuna kikundi cha watu ambao wanaandaa picha mjongeo na taarifa mbalimbali za matukio yaliyotokea siku za nyuma ...Kaka wa Humphrey Polepole aitwa Polisi
Jeshi la Polisi limesema linaendelea kumtafuta Augustino Polepole ambaye ni kaka wa Humphrey Polepole ili atoe maelezo yake na uthibitisho wa shutuma ...Polisi waanza uchunguzi wanasiasa Kigoma kukusanya namba za vitambulisho vya kura
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limeanza uchunguzi kufuatia tuhuma zinazohusisha baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wanaodaiwa ...Polisi yamtaka Polepole afike Ofisi ya DCI kutoa ushahidi wa tuhuma alizotoa
Jeshi la Polisi limemwelekeza aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole afike katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya ...Polisi yawashikilia watu 18 kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko kinyume na sheria
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu 18 akiwemo Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia na ...








