Tag: polisi
Dereva Bodaboda ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua Stephen Chalamila
Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanaume mmoja dereva wa Bodaboda kwa tuhuma za mauaji ya Stephen Evaristo Chalamila (23) mkazi wa ...Polisi yawashikilia watoto waliovunja vioo vya SGR kwa mawe
Jeshi la Polisi limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuvunja vioo viwili vya treni ya Reli ya Kisas ya Umeme (SGR) kwa ...Polisi: Tutawakamata waliojaribu kumkamata kwa nguvu mfanyabiashara
Jeshi la Polisi nchini limesema litawakamata watu walioonekana kwenye picha mjongeo wakijaribu kumkamata na kujaribu kumwingiza kwenye gari kwa nguvu Deogratius Tarimo, ...Ufafanuzi wa Polisi kuhusu kifo cha mgombea Uenyekiti kupitia CHADEMA
Jeshi la Polisi limefafanua juu ya kifo cha Joseph Remigius (52) mkazi wa Kijiji cha Karagara, Wilaya ya Misenyi mkoani Kagera ambaye ...Polisi wamkamata mwanaume aliyeonekana akiwatishia watu kwa silaha
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Derick Derick Junior (36), mkazi wa Salasala, Kinondoni ambaye picha mjongeo (video) ...Waziri aagiza polisi kuwakamata viongozi wanaosimamia ujenzi wa kituo cha afya Geita
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa vijiji na Kata waliokuwa wakisimamia mradi wa ujenzi wa kituo ...






