Tag: Rais
Rais aagiza Tume kuchunguza sababu na namna vurugu za Oktoba 29 zilivyodhibitiwa
Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 kuchunguza sababau za vijana kuandamana ...Rais Samia aagiza kuongezwa jitihada za kuokoa waliofunikwa mgodini Shinyanga
Rais Samia Suluhu Hassan ameielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na vyombo vya Usalama kupeleka misaada ya haraka na kuongeza jitihada za ...Rais wa Korea Kusini aondolewa rasmi madarakani
Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imethibitisha kuondolewa madarakani kwa Rais Yoon Suk Yeol, ambaye alipigiwa kura ya kuondolewa na wabunge mwezi ...Rais Samia: Tutafanyia kazi Ripoti ya CAG, TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali iko tayari kuendelea kufanyia kazi maoni na mapendekezo yaliyotolewa ndani ya taarifa ya Taasisi ya Kuzuia ...Rais amzawadia milioni mbili Dullah Mbabe kwa mchango wake kwenye ngumi
Rais Samia Suluhu amempa zawadi ya shilingi milioni mbili bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe licha ya ...Rais: Tumeanza kuifufua bandari ya Tanga ili vijana wapate ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeanza kuuifufua bandari ya Tanga ili kuongeza uzalishaji wa ajira kwa vijana hususan kwa wakazi wa ...








