Tag: Rais
Rais amzawadia milioni mbili Dullah Mbabe kwa mchango wake kwenye ngumi
Rais Samia Suluhu amempa zawadi ya shilingi milioni mbili bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe licha ya ...Rais: Tumeanza kuifufua bandari ya Tanga ili vijana wapate ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeanza kuuifufua bandari ya Tanga ili kuongeza uzalishaji wa ajira kwa vijana hususan kwa wakazi wa ...Rais: Miradi ya ujenzi inayoendelea itaufungua Mkoa wa Tanga
Rais Samia Suluhu Hassan amesema barabara, madaraja na miradi mingine ya ujenzi inayoendelea mkoani Tanga, ina lengo la kuufungua Mkoa huo kiuchumi, ...Rais wa Colombia apendekeza kokeini ihalalishwe duniani kote
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amesema biashara ya kokeini inaweza kudhibitiwa kwa urahisi ikiwa dawa hiyo itahalalishwa duniani kote, kwakuwa dawa hiyo ...Trump atangaza kusitisha misaada Afrika Kusini
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Afrika Kusini inataifisha ardhi na kuwatendea vibaya watu wa tabaka fulani, kutokana na hayo, ametangaza ...Rais: Abiria toeni taarifa mkiona ukiukwaji wa sheria barabarani
Rais Samia Suluhu amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha madereva wanaongeza umakini na kuzingatia sheria za barabarani hasa kipindi hiki cha mwisho wa ...