Tag: Rais Samia
Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya milioni 600 inayojengwa na NMB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Maandalizi Tasani, ...Rais Samia kutengua DC na DED Mtwara kwa kutotimiza wajibu wao
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kutengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kushindwa ...Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan ametoa tuzo maalum kwa Benki ya NMB katika kutambua mchango na ...Rais Samia: Hakuna mwenye ubavu wa kuligawa au kuliuza Taifa hili
Kufuatia maneno yanayoendelea kuzungumzwa kuhusu mkataba wa ushirikiano kati ya Tanzania na Dubai, Rais Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania na kusisitiza ...Rais Samia: Mabalozi fanyeni kazi kwa matokeo, msisubiri matukio
Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza mabalozi kufanya kazi kwa kujituma katika vituo vyao vya kazi walivyopangiwa pasipo kusubiri matukio maalum ili kulinufaisha ...Rais Samia aahidi kushirikiana na taasisi za kidini kwenye sekta ya kilimo
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaangalia namna ya kushirikiana na kufanya kazi na taasisi za kidini kwenye sekta ya kilimo ili ...