Tag: Rais Samia
Rais Samia kushiriki mkutano wa pamoja kati ya Afrika Kusini na Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kiserikali nchini Afrika Kusini Machi 16, mwaka huu kwa mwaliko maalum kutoka kwa ...Rais Samia akemea viongozi kusengenyana na kudharau wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi kuacha tabia za kudharauliana wenyewe kwa wenyewe na kuwadharau wananchi, badala yake wakafanye kazi kwa misingi ...Rais afanya uteuzi mpya, Mchechu ateuliwa Hazina, Makame NHC
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Nehemia Mchechu kuwa Msajili wa Hazina. Kabla ya uteuzi huo Mchechu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la ...Serikali kuangalia uwezekano kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma na cheti
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaangalia uwezekano uliopo ili kuanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa ngazi ya stashahada na astashahada. Ameyasema ...Barua ya Tito Magoti kwa Rais Samia kuhusu Jaji Biswalo
Baada ya Chama cha ACT-Wazalendo kutoa taarifa ya kuwataka Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma pamoja na aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka ...Rais Samia ataka sheria zinazochelewesha haki zifanyiwe marekebisho
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ...