Tag: Rais Samia
Rais Samia: Wanasiasa wanachochea migogoro ili wapate kura za wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanasiasa kuacha kuchochea migogoro ya ardhi kwa wananchi kwa ajili ya manufaa yao binafsi badala yake wawaambie ...Maagizo 8 ya Rais Samia akizungumza na mabalozi Zanzibar
Rais Samia Suluhu Hassan leo Novemba 19, 2022 amekutana na kufanya kikao na mabalozi mbalimbali wanaoiwakilisha Tanzania katika sehemu mbalimbali duniani, ambapo ...Rais Samia: Mgao wa maji Dar es Salaam utapungua
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mradi wa maji uliozinduliwa Kigamboni, anatumaini mgao wa maji unakwenda kupungua katika jiji ...Rais Samia aeleza sababu za ukosefu wa maji Dar
Rais Samia Suluhu Hassan amesema sababu za kupungua kwa maji katika Mto Ruvu umechangiwa na uharibifu unaofanywa na baadhi ya wananchi ikwemo ...Rais Samia akemea viongozi kujimilikisha vyama vya siasa
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa vyama vya siasa kujijadili na kujitathmini wao wenyewe kuhusu mienendo yao ndani ya vyama kwa ...