Tag: Rais Samia
Rais Samia: Tusikubali kugawanywa kwa sababu za kisiasa
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania kuwakataa wale wote wanaotaka kuligawa Taifa kwa sababu za kisiasa au tofauti za kiitikadi kwa ajili ...Rais Samia: Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili
Kufuatia mauaji ya kikatili yaliyotokea kwa aliyekuwa Mjumbe wa Sekretariati ya CHADEMA, Ally Mohammed Kibao, Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza vyombo vya ...Rais Samia: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano na China katika maendeleo ya kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umeleta matokeo chanya kwa maisha ya watu wa Afrika, ...Rais Samia: JWTZ halikujengwa kwa misingi ya kuwa jeshi la uvamizi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) halikujengwa katika misingi ya kuwa jeshi la uvamizi isipokuwa ...Rais Samia aelekeza mashirika ya umma kufanya mabadiliko ya kiutendaji
Rais Samia Suluhu amewataka Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma kutoa maoni yao ya namna wanavyotamani taasisi wanazoziongoza ...