Tag: Rais Samia
Rais Samia: Wizara ya Maji mlinipa tabu mwanzoni
Rais Samia Suluhu Hassan amesema baada ya Serikali kutatua tatizo la kisheria kuhusu mradi wa Same – Mwanga, kwa sasa Serikali inatafuta ...Rais Samia: Serikali haitakubali kusalitiwa
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Makatibu Mahsusi, Watunza Kumbukumbu pamoja na maafisa utumishi kutunza siri za Serikali wanazozijua katika utekelezaji ...Rais Samia: Kombe la Dunia kutembezwa Tanzania kuna maana kubwa
Rais Samia Suluhu Hassan amewaomba Watanzania kutumia fursa zinazoletwa nchini kuitangaza na kuisemea vizuri Tanzania pamoja na kutumia fursa hizo kibiashira. Ameyasema ...Bunge lampongeza Rais Samia kwa kushinda tuzo ya Mjenzi Mahiri
Bunge la Tanzania limetoa azimio la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa miongoni mwa viongozi wenye ushawishi zaidi duniani, pamoja na ...Rais Samia: Uchumi wa Tanzania unaimarika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema licha ya hali ya uchumi kushuka wakati anaingia madarakani kutokana na janga la UVIKO 19 kuathiri uchumi ...Hoja 9 walizobeba CHADEMA kwenye kikao na Rais Samia
Upatikanaji wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, zuio la mikutano ya hadhara na makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ...