Tag: serikali
Prof. Mkumbo: Serikali itaendelea kufanya ufuatiliaji mali za serikali zilizopo chini ya Ofisi ya Hazina
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema serikali itaendelea kufanya tathmini na ufuatiliaji wa mali za ...Serikali: Bilioni 47 zimelipa watumishi 15,288 wa vyeti feki
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imesema kuwa watumishi wapato 15,288 walioondolewa katika utumishi wa umma kwa ...Serikali: Hakuna Mtanzania hata mmoja atakayekosa huduma za VVU/UKIMWI
Serikali imesema kwa kutambua mabadiliko ya kisera kutoka kwa baadhi ya washirika wa muda mrefu wa masuala ya UKIMWI, serikali inachukua hatua ...Serikali: Watu 60,000 wanaambukizwa VVU kila mwaka
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kiwango cha maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi ni watu 60,000 kila mwaka, ambapo vijana wanaopata maambukizi ...Serikaali yatoa mwongozo kwa wasafiri kufuatia uwepo wa Mpox nchini
Kufuatia serikali kutangaza uwepo wa ugonjwa wa Mpox nchini, Wizara ya Afya imesema imeanza kutekeleza afua za afya ili kuweza kuzuia kuenea ...Serikali yatenga bilioni 114 ukarabati barabara za mikoa ya Kusini zilizoathiriwa na El Nino
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imetenga zaidi ya shilingi bilioni 114 kukarabati barabara za mikoa ya Kusini zilizoharibiwa na mvua ...