Tag: serikali
DPP afuta kesi iliyokuwa ikimkabili Mbunge Gekul
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Babati, Victor Kimario ameifuta kesi iliyokuwa ikimkabili Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul baada ya Mkurugenzi ...Jinsi ya kuepuka kuishiwa pesa Januari
Kuepuka kuishiwa pesa baada ya likizo Desemba inahitaji mipango madhubuti na busara katika matumizi ya fedha. Wengi wanapomaliza sikukuu za Krismasi na ...Odinga aiomba radhi Rwanda kwa niaba ya serikali ya Kenya
Kiongozi wa Muungano wa Azimio La Umoja Kenya, Raila Odinga amelaani matamshi tata yaliyotolewa na Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, Kipchumba Murkomen ...Hospitali ya Muhimbili yazindua mashine inayotibu magonjwa zaidi ya 10
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imezindua mtambo unaotumia hewa tiba yenye mgandamizo ya oksijeni (Hyperbaric Medicine Treatment) ambao unatibu magonjwa zaidi ya ...Ruto: Ndani ya miaka 10 Kenya haitotambulika
Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza na kuwahakikisha Wakenya kwamba nchi hiyo itapitia mabadiliko makubwa ndani ya miaka 10 ijayo kiasi cha ...