Tag: serikali
Waziri Nchemba: Serikali haina kesi za kodi za TZS trilioni 360
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali haina kesi 1,097 za kodi za muda mrefu zenye thamani ya shilingi ...Serikali kuwachukulia hatua wote waliohusika tukio la watu wa jinsia moja kuvishana pete
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale imesema inalaani tukio lililosambaa kwenye mitandao y kijamii likiwaonyesha ...Serikali yafuta baadhi ya tozo za miamala kwa maelekezo ya CCM
Serikali imesema kuwa haina malengo ya kuwatoza wananchi wake kodi au tozo kwa ajili ya kuwapa mzigo, bali inalenga kuwahusisha Watanzania wote ...Serikali yaja na mkakati kuwezesha wanafunzi wote kupata chakula shuleni
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema ili kupata matokeo mazuri ya elimu ni lazima kuhakikisha upatikanaji wa lishe bora ...Agizo la Serikali kwa shule zinazochuja wanafunzi wasiofikisha viwango vya ufaulu
Serikali imepiga marufuku baadhi ya shule kuchuja wanafunzi wasiofikia kiwango kilichowekwa na shule pamoja na kuwazuia kufanya mitihani ya kitaifa kwa wanafunzi ...Serikali yaondoa ulazima wa uvaaji barakoa
Serikali imeondoa ulazima wa kuvaa barakoa nchini kutokana na kuendelea kupungua kwa hali ya maambukizi ya ugonjwa wa UVIKO-19 duniani kote. Akizungumza ...