Tag: Tanga
Kamati ya Ushauri Tanga yaidhinisha mapendekezo ya kugawa majimbo ya uchaguzi
Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu, Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) imeidhinisha mapendekezo ya kugawa majimbo matatu ya ...Rais: Tumeanza kuifufua bandari ya Tanga ili vijana wapate ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeanza kuuifufua bandari ya Tanga ili kuongeza uzalishaji wa ajira kwa vijana hususan kwa wakazi wa ...Jeshi la Polisi lazuia mkutano wa Lissu Tanga
Jeshi la Polisi Wilaya ya Tanga limezuia mkutano wa hadhara uliotarajiwa kufanyika Septemba 20, 2024 Tanga Mjini ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu ...Polisi: Tunawasaka bodaboda waliochoma basi Tanga
Jeshi la Polisi limesema linaendelea kuwasaka waendesha pikipiki maarufu bodaboda waliohusika kuchoma basi la kampuni ya Sai Baba Express katika Kata ya ...Lushoto: Wazee wakausha maji baada ya mradi kuanzishwa bila kupewa taarifa
Wakazi wa Kata ya Kwekanga wilayani Lushoto mkoani Tanga wamekumbana na ukosefu wa maji baada ya wazee wa kata hiyo kudaiwa kuzuia ...Watumishi Tanga wasimamishwa kazi kwa kuchelewa kufika eneo la ajali
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba amewasimamisha kazi watumishi wa umma wawili ili kupisha uchunguzi wa sababu za kuchelewa kufika katika ...