Tag: Tanga
Lushoto: Wazee wakausha maji baada ya mradi kuanzishwa bila kupewa taarifa
Wakazi wa Kata ya Kwekanga wilayani Lushoto mkoani Tanga wamekumbana na ukosefu wa maji baada ya wazee wa kata hiyo kudaiwa kuzuia ...Watumishi Tanga wasimamishwa kazi kwa kuchelewa kufika eneo la ajali
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba amewasimamisha kazi watumishi wa umma wawili ili kupisha uchunguzi wa sababu za kuchelewa kufika katika ...Watu 17 wafariki ajalini Tanga wakisafirisha maiti
Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Magira Gereza wilayani Korogwe mkoani Tanga majira ...Mkandarasi apiga TZS bilioni 64 mradi wa Bandari ya Tanga
Mbunge wa Viti Maalum, Judith Kapinga amesema mkandarasi mkuu aliyepewa tenda ya kufanya maboresho katika Bandari ya Tanga kwa kiasi cha Shilingi ...Msisikilize maneno ya watu wa pembeni, Waziri Mkuu awaambia wakazi wa Ngorongoro
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea mapendekezo kutoka kwa wananchi wa tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale kuhusu namna bora ya kulinda uhifadhi ...







