Tag: Tanzania
Elon Musk asubiri kibali cha TCRA kuwekeza nchini
Tovuti ya Starlink inayomilikiwa na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa mtandao wa Twitter, Elon Musk imetangaza mpango wa kuleta huduma ya ...Tanzania yatoa maelekezo kwa Mabalozi wanaoiwakilisha nchi
Wawakilishi wa Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wameelekezwa kuanzisha, kushawishi na kufuatilia mikataba yenye manufaa katika nchi zao za uwakilishi badala ya ...Mwigulu: Tanzania bado ipo uchumi wa kati
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amekanusha takwimu zilizotolewa na Mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo zilizoonesha ...Fiyao: Uchumi wa Tanzania unakua kwenye makaratasi au mifukoni?
Mbunge wa Viti Maalum, Stella Fiyao ameitaka Serikali kuwafafanulia Watanzania wanamaanisha nini wanaposema kwamba uchumi wa Tanzania umekua kwa sababu hali mitaani ...Tanzania mbioni kuunda na kurusha satelaiti yake
Serikali imesema katika mwaka huu wa fedha 2022/2023, Tanzania imeanza kuandaa utaratibu wa awali utakaowezesha kuunda na kurusha satelaiti yake angani. Aidha, ...Matokeo Sensa: Watu milioni 16.8 waongezeka ndani ya miaka 10
Rais Samia Suluhu Hassan amesema jumla ya idadi ya Watanzania ni 61,741,120 huku wanawake wakiongoza kwa idadi ya watu 31,687,990 sawa na ...